Loading...

Rais Magufuli: Ningejua Kama Urais Ndio Hivi, Nisingegombea

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼



Wakati Muheshimiwa JPM akiwa mapumzikoni kule Chato aliwasiliana na Kardinal Pengo kwa njia ya simu, muheshimiwa JPM inaonekana alifunguka mambo mengi sana ambayo Pengo ameyaminya, ila kubwa alilomueleza ni kuwa kama angejua kazi ya Urais ilivyo ngumu hivi, wala asingethubutu kugombea.

Kardinali Pengo aliishia kumtuliza kwa kumwambia kuwa ni afadhali mtu mmoja afe lakini taifa lisiteketee.

Swali ni, kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia huko Magogoni??
Nini maana ya maneno "ni afadhali mtu mmoja afe kuliko taifa kuteketea"?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top