Loading...

BREAKING NEWS: TAARIFA MBAYA NA YAKUSIKITISHA MUDA HUU...ZANZIBAR YAJAA MAJI KUTOKANA NA MAFURIKO NA KUSABABISHA MAUAJI

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼


MTU mmoja amefariki dunia kwa kuangikuwa na ukuta na nyumba kadhaa kubomoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika Manispaa ya Zanzibar.
Kamanda Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) Mkadam Khamis, alimtaja mtu aliyefariki dunia kuwa Salim Mohamed, mkazi wa Migombani ambaye aliangukiwa na ukuta nyumbani kwake alfajiri kuamkia jana.
Kamanda Mkadam alifafanua kuwa Salim alitoka nje ya nyumba yake kuangalia mazingira ya mvua zilizokuwa zikinyesha, lakini ghafla ukuta ulibomoka na kumuagukia na kusababisha kifo chake.



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top