Loading...

Magufuli Anasema Tumbueni Majipu laivu, Samia Anasema Tumbueni kwa Kufuata Utaratibu...Viongozi Wamfuate Nani?

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼
Katika utumbuaji majibu kwa watumishi wa umma Rais Magufuli alitamka kwa msisitizo kuwa hakuna kuwapa nafasi watu wanaotuhumiwa kuharibu kazi zao Bali ni kuchukua hata mengine baadae yatajulijana. Kuna waliopiga kelele kuwa kanuni za utumishi hapo zinakiukwa. Nae akajibu potelea mbali alipokuwa anazungumza na viongozi wa ccn Ikulu.

Jana Makamu wa Rais Samoa akiwa Geita kaagiza viongozi wa serikali na kisiasa (kisiasa nadhani ni mawaziri,RC na DC) kuacha kuchukua hatua kwa watumishi bila kufuata kanuni za kazi na kusikiliza upande wa pili.

Jee huku nikufuta kauli ya Rais baada ya kuona imekwenda kinyume au ni kila mtu na agizo lake? Viongozi walioagizwa wafuate kauli ioi hapo?

By Chakaza

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top