Loading...

Kauli ya Msemaji wa Yanga Baada ya Simba Kufungwa na Mwadui na Kuipa Yanga Ubingwa hii Hapa

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼
"Tunawashukuru sana wa matopeni kwa kutubeba, hii inadhihirisha ni jinsi gani wanatupenda, bahati nzuri hata sisi tunabebeka, unajua unapobebwa, yule anayekubeba sharti achutame halafu unayebebwa unampandia juu, juu ya mgongo, Simba wametubeba kwa kutupa ubingwa"

Je, unakubaliana na kauli hii ya msemaji wa Yanga?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top