Loading...

VIDEO: YALIYOJILI KUTOKA BUNGENI HUKU KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU KIKIENDELEA MBUNGE MMOJA WA UKONGA "MWITA WAITARA" AOMBA KUMTWANGA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA.....SHUHUDIA KILICHOTOKEA BUNGENI

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼

Mkutano wa tatu, kikao cha sita umeendelea tena leo April 28 2016 bungeni Dodoma, Katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu Mbunge wa Ukonga, Dar es salaam Mwita Waitara kamuuliza swali Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu barabara zisizo na kiwango na kusababisha mafuriko katika kipindi cha mvua.
Waziri Mkuu Majaliwa katolea ufafanuzi kwenye hii Video hapa chini..



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top