Loading...

MIKUMI KIMENUKA LEO KATI YA MBUNGE "PROF: JAY" NA MKUU WA WILAYA...UKAWA NAO WAMEAMUA KUFANYA TUKIO LAO LA HISTORIA HUKO MIKUMI

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼




Kwa mujibu wa Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni rapa, Joseph ‘Prof: Jay’ Haule, amedai alipigiwa simu na mkuu wa wilaya ambayo Mikumi inapatikani kujulishwa kuwa alitumiwa barua kuomba achangie mchango wa shilingi milioni 5 kwa ajili ya mbio za Mwenge.
Akizungumza na wananchi wa Ruaha Mkoani Morogoro, Prof Jay amesema alimjibu mkuu wa Wilaya hiyo kuwa, kuliko kuchangia Mbio za Mwenge ni bora fedha zake aelekeze kwenye maendeleo ya Wananchi.
“Wakati nakuja njiani Mkuu wa Wilaya alinipigia simu, akanambia Mh tumeleta barua ofisini kwako kuomba mchango wako katika mbio za mwenge, nikamwambia daah hizo hela za kuchangia karibu milioni tano, ni bora nipeleke Ruaha maji yatoke tu” Alisema

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top