Loading...

HABARI ZA HIVI PUNDE: ORODHA HII INATISHA....SERIKALI YAAMUA KUTOA ORODHA YA WATUMISHI HEWA NA HASARA ILIYOPATIKANA...MOROGORO NA MBEYA HATARI KUBWA

▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼




WATUMISHI HEWA NI 2094 NA JUMLA YA HASARA YA MILIONI 3063.9 NI SAWA NA BILIONI 3.0639

Meatu/Singida. Vita ya watumishi hewa inayoendelea nchini imempandisha kizimbani, Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Imani Nyamangaro jana akidaiwa kujilipa mishahara ya wastaafu 57 yenye thamani ya Sh29.4 milioni wakati huko Meatu, mkoani Simiyu mtumishi aliyefariki mwaka 2012 ameendelea kulipwa zaidi ya 21 milioni.
Mbali na matukio hayo, huko Mwanza imebainika kwamba watumishi hao hewa wamekuwa ‘wakikopa’ fedha kwenye taasisi mbalimbali za fedha.

Mhasibu kujilipa mishahara ya wastaafu


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright bongonews | Designed By JAMIIYETUBONGO.COM
Back To Top